1 Wafalme 1 : 13 1st Kings chapter 1 verse 13
Swahili | English Translation |
---|---|
1 Wafalme 1:13
Enenda uingie ndani kwa mfalme Daudi, ukamwambie, Je! Hukuniapia mimi mjakazi wako, Ee mfalme, bwana wangu, kusema, Hakika yake Sulemani mwana wako atamiliki baada yangu, na kuketi katika kiti changu cha enzi? Mbona basi anamiliki Adonia?
|
1st Kings 1:13Go and get you in to king David, and tell him, Didn't you, my lord, king, swear to your handmaid, saying, Assuredly Solomon your son shall reign after me, and he shall sit on my throne? why then does Adonijah reign? |