Kutoka 18 : 18 Exodus chapter 18 verse 18
Swahili | English Translation |
---|---|
Kutoka 18:18
Huna budi utadhoofika wewe, na hawa watu walio pamoja nawe pia; maana jambo hili ni zito mno kwako; huwezi wewe kulitenda peke yako.
|
Exodus 18:18You will surely wear away, both you, and this people that is with you; for the thing is too heavy for you. You are not able to perform it yourself alone. |