Niko Salama Lyrics

By Ali Mukhwana

Lyrics

Yahweh kwako niko salama 

Yahweh milele sina Mungu mwingine  

Kwa neno lako Yesu mimi niko salama 

Niko salama ee ee ee

Niko salama ee ee ee 


Yahweh kwako niko salama 

Yahweh milele sina Mungu mwingine  


Majaribu ni mengi waokolee 

Lakini kwake Yesu tuko salama 

Lakini kwake Yesu tuko salama 

Yamekuja hata vita ee ee ee

Yana mwisho wake ee ee ee

Yana mwisho wake ee ee ee

Yote ni mapito usikate tamaa 


Kilio ni usiku asubuhi furaha yaja 

Kilio ni usiku asubuhi furaha yaja 

Yote ni mapito tu na tena yatapita tu  

Yote ni mapito tu na tena yatapita tu 


Nuru ya Bwana imekuangazia wewe 

Nuru ya Bwana imekuangazia wewe 

Tena Mungu anakuwazia mema 

Anakuwazia mema tena anakuwazia mema 

Ana mipango mema ju ya maisha yako 

Anakuwazia mema Mungu mwenye nguvu 

Anakuwazia mema Mungu mwenye nguvu 


Yahweh kwako niko salama 

Yahweh milele sina Mungu mwingine  


Wateule msichoke na maombi ee ee 

Tena msichoke na kufunga ee ee 

Majaribu yakija tuyashinde 

Majaribu yakija tuyashinde yote 


Yesu mwenyewe alijaribiwa 

Wewe ni nani usijaribiwe 

(repeat)

Umetokea wapi usijaribiwe 

Jipe nguvu, uvumilivu 

Yote kwa Mungu tutashinda 

Yawe magumu vipi tutashinda 

Hata Yawe magumu vipi tutashinda 


Aiee niko salama ee 

Nikiwa na Yesu ee 

Akiwa upande wangu Yesu 

Aiyee niko salama, mashaka ya nini 

Nikiwa na yesu ee A

Amenichagua niko salama eeh 

Niko salama eeh 

Nikiwa na Yesu eeh 

Ali Mukhwana - Ni Salama (Lyric Video)

Now Playing...