Lyrics Page

Ni Poa

By Amani G + Pitson

2,236 views Jun 6, 2026 updated

Yoyoyo Yoyoyo iyo yoyoyo


Ni Poa Kuwa na Rafiki kama Yesu 

Ukianguka kwa shimo anakutoa 

Ni poa kuwa na rafiki kama Yesu 

Ukiwa mwenye dhambi anakuokoa 


Na je rafiki yako akisikia (akisikia) 

Kwamba ndugu yako ameaga dunia 

Siku ya nne anatokea 

Na ndugu yako rafiki anamfufua 


Na je Rafiki yako ukimwambia (ukimwambia) 

Hatujalipa kodi wanatukujia (aaah) 

Anakutuma kafungue mdomo wa samaki 

Hapo ndani kuna mapeni lipa kodi 


Ni Poa Kuwa na Rafiki kama Yesu 

Ukianguka kwa shimo anakutoa 

Ni poa kuwa na rafiki kama Yesu 

Ukiwa mwenye dhambi anakuokoa 


Yoyoyo Yoyoyo iyoiyo yoyoyo 

Yoyoyo Yoyoyo iyoiyo yoyoyo

Imagine rafiki ambaye haogopi 

Imagine rafiki ambaye hatoroki 

Imagine rafiki ambaye hakuwachi 

Hata maji rafiki yanamtii 


Mawimbi yakija rafiki anakemea kemea 

uu ya maji rafiki anatembea tembea 

Hakuna jambo rafiki linamlemea lemea 

Yesu ni rafiki anakungojea 


[CHORUS] 

Ni Poa Kuwa na Rafiki kama Yesu 

Ukianguka kwa shimo anakutoa 

Ni poa kuwa na rafiki kama Yesu 

Ukiwa mwenye dhambi anakuokoa


Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.