Lyrics Page

Salama

By Angel Benard

1,468 views Jun 6, 2026 updated

Heieee aaah

Haaaaooo

Mmmmmm

Nionapo amani kama shwari ama nionapo shida

Kwa mambo yote umenijulisha ni salama rohoni mwangu

Nionapo amani kama shwari ama nionapo shida

Kwa mambo yote umenijulisha ni salama rohoni mwangu


Salama rohoni

Ni salama rohoni mwangu

Salama rohoni

Ni sakama rohoni mwangu


Ingawa shetani alinitesa nalijipa moyo kwani

Kristo uliuona unyonge wangu ulikufa kwa roho yangu

Dhambi zangu zote wala si nusu ziliwekwa msalabani

Wala sichukui laana yake ni salama rohoni mwangu


Salama rohoni

Ni salama rohoni mwangu

Salama rohoni

Ni salama rohoni mwangu

Salama rohoni

Ni salama rohoni mwangu

Salama rohoniiiiii


Ee Bwana imiza siku ya kuja panda itakapolia

Pale utaposhuka wala sitaogopa 

Ni salama rohoni mwangu


Salama rohoni

Ni salama rohoni mwangu

Salama rohoni

Ni salama rohoni mwangu

Kwako salama(salama rohoni)

Kwako salama Yesu(ni salama rohoni mwangu)

Salama rohoni

Ni salama rohoni mwangu

Salama rohoni

Ni salama rohoni mwangu

Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.