Lyrics Page

Wanitosheleza

By Annette Tenaya

1,210 views Sep 24, 2025 updated

Oh nimetafuta kila kona

Sijampata mmoja ambaye anitosheleza 

Oh mimi nimeonja sasa nimeona 

Ya kwamba wewe u mwema uwoooh 

Nilipocheka sababu ni furaha yako 

Nilipokwita Baba kanisikia 

Na sa nimetambua 


Wanitosheleza wanionyesha njia 

Huniachi nianguke Baba 

Wanipenda sana wanijali pia 

Nasema nakushukuru 

(rudia *2)


Oh upendo wako ni wa kweli (O

Upendo usio na kamba zilizofungwa hapa na pale 

Oh kanifia msalabani nilipokuwa kwa dhambi 

Na sasa niko huru uwooh 

Nilipocheka sababu ni furaha yako 

Nilipokwita Baba kanisikia 

Na sasa nimetambua 


Wanitosheleza wanionyesha njia 

Huniachi nianguke Baba 

Wanipenda sana wanijali pia 

Nasema nakushukuru 


I have tasted and now I see

There?s Lord you are so good to me


Wanitosheleza wewe ndiye mwanga wangu 

wanionyesha njia, mwaminifu tena sana 

Wanitosheleza, Nitakusifu wewe mile 

wanionyesha njia, Mpenzi wa roho yangu 


Nilipocheka sababu ni furaha yako 

Nilipokwita Baba kanisikia 

Na sa nimetambua 


Wanitosheleza wanionyesha njia 

Huniachi nianguke Baba 

Wanipenda sana wanijali pia 

Nasema nakushukuru 

Wanitosheleza wanionyesha njia ...


Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.