Jionyeshe Lyrics

By Bahati

Lyrics

Bahati:

Mungu wangu eeh 

Mungu wangu nakuita we Baba eeh 

Tunahisi Mungu umesonga uko far away 

Hawana kazi wakumbuke Messiah Wee 

Mashambani wanapata hasara wee 


Jionyeshe wakujue Baba watambue 

Mizogo uwaondole, Yesu watulie eeh 

Princess Leo: 

Jionyeshe wakujue Baba watambue 

Mizogo uwaondole, Yesu watulie eeh 

Jionyeshe Baba Tusaidiee eeh 

Eeheeh Yesu tuokoe 

Ee-eh Jionyeshe Baba 

eeh Yesu tukuone 


Bahati:  

Wazazi wetu wanapata pressure sinung'uniki [?] 

Mara shuleni wanatuma pesa tusome 

Tunakuwa slay queens 

Princess Leo:

Mara wana[?] huo ndo utanashati 

Mjini kuzurura vilabu, viganjani [?] 

Tusamee ee-ee-eeh 

Tusamee ee-eeh 


Bahati:

Jionyeshe wakujue, Baba watambue 

Mizogo uwaondole, Yesu watulie eeh 

Princess Leo: 

Jionyeshe wakujue Baba watambue 

Mizogo uwaondole, Yesu watulie eeh 

Jionyeshe Baba Tusaidiee eeh 

Eeheeh Yesu tuokoe 

Ee-eh Jionyeshe Baba 

eeh Yesu tukuone 


Jionyeshe kwa huduma yangu eeh

Uuu kwa biashara yangu 

Ooh nakuhitaji sana 

Kwa familia zao Yesu jionyeshe wewe 

Tunakuhitaji sana Baba 


Bahati:

Jionyeshe wakujue, Baba watambue 

Mizogo uwaondole, Yesu watulie eeh 

Princess Leo: 

Jionyeshe wakujue Baba watambue 

Mizogo uwaondole, Yesu watulie eeh 

Jionyeshe Baba Tusaidiee eeh 

Eeheeh Yesu watulie eeh 

Now Playing...