Lyrics Page

Nifunze

By Bire The Vocalist

1,401 views Jun 6, 2026 updated

Kama miaka sita iliyopita 

Sikuwa na jina wangeniita 

Sikuwa na wimbo mi ningeimba 

Sikudhani maisha yangu ingebadilika 


Pole pole tu, mi nasonga ju 

Unanifunza tu, mwalimu wangu 

Isifike mahali Baba mi niringe 

Isifike mahali Baba nijiinue 

Hizo makofi, hizo mashangwe 

Hizo manduru, zisinichanganye 


Eeeh Baba, eeh nifunze 

Naomba eeh ee nifunze  

Ikiwa sijui kuabudu ee nifunze 

Ikiwa sijui utukufu ee nifunze 


Ninaimba ju uliniita 

Nikifika ju pokea sifa 

Nisiwe na roho wa kujiringa 

Isifike siku nipewe sifa 


Pole pole tu, mi nasonge ju 

Unanifunze tu, mwalimu wangu 

Kujigamba kiburi Baba nikianza 

Bila wewe Baba nitazama 

Hizo makofi, hizo mashangwe 

Hizo manduru, zisinichanganye 


Eeeh Baba, eeh nifunze 

Naomba eeh ee nifunze  

Ikiwa sijui kuabudu ee nifunze 

Ikiwa sijui utukufu ee nifunze 


Eeeh nifunze, eeeh nifunze

Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.