shetani aliniandama ndo maana nilikimbia
katika njia ya Baba nikimwona ninasimama .
Wanipa nguvu kama Samson
Na uwezo kama Solomon
na nina-dance kama David
na nikona imani ka Abraham .
Shetani amejam ju nikona Yesu
Huwezi nitisha ju nikona nguvu
Shetani amejam ju nikona Yesu
Huwezi nitisha ju nikona nguvu
Nikona zigwembe, Zigwembe ya Yesu nikona .
Huyu adui, ananifuata mimi kila mahali
Ananijaza na mashida mingi mingi
Anataka nimkane Yesu wangu
Oya oyaa oyaa .
Wanipa nguvu kama Samson
na uwezo kama Solomon
na nina-dance kama David
na nikona imani ka Abraham .
Shetani amejam ju nikona Yesu
Huwezi nitisha ju nikona nguvu
Shetani amejam ju nikona Yesu
Huwezi nitisha ju nikona nguvu
Nikona zigwembe, Zigwembe ya Yesu nikona .
Andama Zigwembe zigwembe
Kimbia Zigwembe zigwembe
Ya Baba Zigwembe zigwembe .
wanipa nguvu kama Samson
na uwezo kama Solomon
na nina-dance kama David
na nikona imani ka Abraham .
Shetani amejam ju nikona Yesu
Huwezi nitisha ju nikona nguvu
Shetani amejam ju nikona Yesu
Huwezi nitisha ju nikona nguvu
Nikona zigwembe, zigwembe ya Yesu
Nikona zigwembe, zigwembe nikona