Lyrics Page

Hakuna Kama Yesu

By Edson Mwasabwite

1,755 views Jun 6, 2026 updated

Nataka na mimi niimbe

Nataka na mimi niimbe (imba) 

Nataka na mimi niimbe

Hakuna kama Yesu 

Acha na mimi niimbe 

Acha na mimi niimbe (imba) 

Acha na mimi niimbe 

Hakuna kama Yesu


Nimezunguka zunguka sana mimi ye

Kutafuta mtu wa kufanana na Yesu 

(Oh mimi sijaona ) 

Nani mwanadamu mwenye huruma kama zake Bwana Yesu 

(Oh mimi sijaona) 

Anayekubali kuacha vyote kuajili ya mtu mwingine 

Oh ni Yesu tu uu (Oh mimi sijaona) 

Alikubali kuacha vyote mbinguni kwa Baba yake 

Akashuka kwetu (Oh mimi sijaona) 

Oh anayefanana kidogo, anayelingana kidogo 

Anayemkaribia (Oh mimi sijaona) 

Hakuna mwanaume kama Yesu, hakuna mwenye nguvu kama Yesu 

Hakuna mkuu kama Yesu (Oh mimi sijaona) 

Angalia mambo yake Yesu, matendo yake Yesu 

Nguvu zake Yesu (Oh mimi sijaona) 

Sijaona kama yeye, kama yeye Bwana 

Mponyaji na mwokozi (Oh mimi sijaona) 


Oh hakuna kama Yesu, kama Yesu, kama Yesu 

Oh mwenye nguvu kama Yesu, kama Yesu sijaona  

Oh hakuna kama Yesu, kama Yesu, kama Yesu 

Mwenye upendo kama Yesu, kama Yesu, kama Yesu sijaona 

Oh hakuna kama Jehovah (aaah), kama Jehovah (eeeh)

Kama Jehovah (Hakuna kama Yesu) 

Aliyetufia kalivari (aaah), eeeh (eeeh) 

Ili sisi tupone (Hakuna kama Yesu) 

Hakuna kama Jehovah(aaah), kama Jehovah (eeeh) 

Kama Jehovah (Hakuna kama Yesu) 

kama Yesu, (aaah), kama Yesu (eeeh) 

Kama Yesu (Hakuna kama Yesu) 


Mwenye nguvu mwenye mamlaka (aaah) aa aah 

Eeeh , Hakuna kama Yesu 

Sijaona kama Yesu, (aaah), kama Yesu (eeeh) 

Sijaona mimi(Hakuna kama Yesu) 

Anayetupenda anayetujali (aaah) eeh (eeh)

Sijaona mimi, (Hakuna kama Yesu) 

...

Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.