Lyrics Page
Kama Sio Wewe 1
2,183 views
Jun 6, 2026 updated
mkono wako mkuu ukawa juu yangu
ukanipenda hata pasipokukutambua
ukanitoa mautini ukanifanya wako
Chorus
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu
safari pamoja nawe sio mteremko
milima mabonde umenikomboa Yesu
uliahidi kutoniacha pekee yangu
nashuhudia uaminifu wako kwangu
Chorus
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu
safarini Baba nimekuita ukaitika
safarini Baba machozi mengi umeyafuta
nimejua Mungu ajibuye maombi
nimepata rafiki asiyebadilika
Chorus
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu