Lyrics Page

Wewe Ni Bwana

By Enid Moraa + Reuben Kigame

4,054 views Jun 10, 2026 updated

Wewe ni Bwana, juu ya mabwana

Ufalme wako, wadumu milele

Wewe ni Bwana, juu ya mabwana

Umetukuka, milele amina


Wewe ni Bwana, juu ya mabwana

Ufalme wako, wadumu milele

Wewe ni Bwana, juu ya mabwana

Umetukuka, milele amina


Katoka juu, mbinguni kaja hapa duniani

kamwaga damu kalivari, ili nipate kombolewa

Na nimeokoka, nioshwa dhambi Nimekuwa safi,

ninakusifu Milele na milele na mile-ele

Wewe ni Bwana, juu ya mabwana

Ufalme wako, wadumu milele

Wewe ni Bwana, juu ya mabwana

Umetukuka, milele amina


Majaribu yaja, shida nazo zaja

Kila siku mbio, ni katika vita

Adui hatasita kunimaliza, nami nimeuona mkondo wa Yesu

Msaada wangu, tegemeo langu,

Mwambwa imara wake nasimama

NImeweka imani kwa yule aliye mwaminifu


Wewe ni Bwana, juu ya mabwana

Ufalme wako, wadumu milele

Wewe ni Bwana, juu ya mabwana

Umetukuka, milele amina


Wewe ni Bwana, juu ya mabwana

Ufalme wako, wadumu milele

Wewe ni Bwana, juu ya mabwana

Umetukuka, milele amina


Umetukuka, milele amina

Umetukuka, milele amina

Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.