Lyrics Page

Si ya Kawaida

By Erick Smith

2,534 views Jun 6, 2026 updated
Nilikuwa wa kudharauliwa
ukanipa heshima Bwana, sijui niseme nini,
Hakuna chochote kile ninaweza jivunia, Isipokuwa neema yako.

Usingelikuwepo nisingelikuwepo
Nisingelipata mimi upendo kama wako

Kwamba neema si ya kawaida, imenitoa kwa laana
Hakuna chochote ningefanya mimi ili nikubaliwe na Mungu
Damu yako ya dhamana imeniepusha na hukumu.
Rehema upendo zimeniwezesha kuingia kwa Baba.

Usingelijitoa ningekuwa wapi
Kwa kupigwa kwako tumepona aa.
Ulibeba mateso shida zote msalabani
Ukasema kuwa yote yamekwisha aa aah.

Usingelikuwepo nisingelikuwepo
Nisingelipata upendo kama wako

Kwamba neema si ya kawaida, imenitoa kwa laana
Hakuna chochote ningefanya mimi ili nikubaliwe na Mungu
Damu yako ya dhamana imeniepusha na hukumu.
Rehema upendo zimeniwezesha kuingia kwa Baba.

Kwamba neema si ya kawaida, imenitoa kwa laana
Hakuna chochote ningefanya mimi ili nikubaliwe na Mungu
Damu yako ya dhamana imeniepusha na hukumu.
Rehema upendo zimeniwezesha kuingia kwa Baba.



Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.