Lyrics Page

Wewe ni zaidi

By Erick Smith

4,233 views Jun 6, 2026 updated

Ninashangaa nikielewa
Wewe ni zaidi ya vile nilivyoambiwa juu Yako
Tena sauti Yako, Baba yanizidia,
Sauti zote ninazosikia

Yale umetenda Baba, yote ni makuu
Maana wayatenda kwa upendo
Yale unasema Baba yote ni kweli
Maana pia wayasema kwa upendo

Yale umetenda Baba, yote ni makuu
Maana wayatenda kwa upendo
Yale unasema Baba yote ni kweli
Maana pia wayasema kwa upendo

Nimejipata ndani ya upendo wako,
Umekua kwangu mapumziko
Neema yako yanitosha,
Nikiwa nawe mimi niko huru.

Yale umetenda Baba, yote ni makuu
Maana wayatenda kwa upendo
Yale unasema Baba yote ni kweli
Maana pia wayasema kwa upendo

Wewe ni Mungu mkuu,
Mfalme wa wafalme,
Muumba wa mbingu na nchi,
Heshima zote ni zako bwana,
Hakuna kama wewe

Yale umetenda Baba, yote ni makuu
Maana wayatenda kwa upendo
Yale unasema Baba yote ni kweli
Maana pia wayasema kwa upendo

Yale umetenda Baba, yote ni makuu
Maana wayatenda kwa upendo
Yale unasema Baba yote ni kweli
Maana pia wayasema kwa upendo

Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.