Lyrics Page

Mpango wa Kando

By Gloria Muliro

1,367 views Jun 6, 2026 updated

Kando ooh, kando ooh Wacha.
Tulipojuana mi nawe, ulinipenda sana, uliniamini sana,
Ukanitafuta sana. Nikashakuomba ukaniitisha ulichotaka
Wewe ieh, wewe eeh.

Mpango wa kandoo ooh, mpango wa kandoo ooh, wacha.
Mpango wa kandoo ooh, mpango wa kandoo ooh, wacha.

*Taka jalani ulinimiminia, eti mbona ukitimize.
Nitakumikia zaidi, eeh, nikakupa kazi.
Ukaniomba mtoto, nikakupa watoto.
Mimi Mungu wako, nikakuponya magonjwa yote.
Mimi eeh mwaminifu sana.

Mpango wa kandoo ooh, mpango wa kandoo ooh, wacha.
Mpango wa kandoo ooh, mpango wa kandoo ooh, wacha.

Mbona hukeshi tena, sababu ya mume.
Mbona hufungi tena, njaa yanilemea.
Ibada yangu wachelewa, Baba niko busy.
Nakuona kwa waganga, niliona umechelewa.

Mbona hukeshi tena, sababu ya mke.
Mbona hufungi tena, shida zimekwisha.
Ibada wachelewa, Baba ni watoto.
Nakuona kwa waganga, niliona umenyamaza.

Mpango wa kandoo ooh, mpango wa kandoo ooh, wacha.
Mpango wa kandoo ooh, mpango wa kandoo ooh, wacha.

Ulianza vitina, ukaanza chonganisha, ukaingiza na chuki.
Ukaanza ulevi, mama pima, ukasahau jamii.

Nisamehe, nisamehe, Baba nisamehe
Nisamehe, nisamehe, Baba nisamehe.

Ulikosa mwelekeo, lakini umetubu leo.
Nimekusamehe mwanangu.

Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.