Wema Lyrics

By Gloria Muliro

Lyrics

Oooh woooh Mungu wangu ni mkuu Oooh woooh

Pozeeee

Nyota yangu imeng’aa asante mola 

Mambo yamebadilika asante mola

Sio kwa nguvu zangu mi 

Ni kwa nguvu zako wewe tu

Ingekua ni mwanadamu angenionea

Ingekua ni mwanadamu angenionea 

Ulivyo nibariki na wenzangu pia uwabariki Ulivyonionekania na wenzangu pia uwaonekanie

Mungu wangu we ni mwema We ni mwema, we ni mwema Ukiahidi unatenda unatenda ulivynitendea


Mungu wangu we ni mwema 

We ni mwema, we ni mwema 

Nimeona mkono wako Maishani mwangu We ni mwema


Gloria:

Nimetua mizigo kwako nimepumzika 

Nimeitua msalabani nimepumzika

Kwako nimetulia mie Umenifurahisha

Kuna amani sikupata kwingi ila kwako

Kuna wema kuna favour Ndani yako Mungu wangu msaada wangu ni wee Mungu wangu ujasiri wangu ni wee


Mungu wangu we ni mwema We ni mwema, we ni mwema Ukiahidi unatenda unatenda ulivyonitendea 

Mungu wangu we ni mwema We ni mwema, we ni mwema

Nimeona mkono wako Maishani mwangu 

We ni mwema, Ni kwa wema

Yote unayotenda ni kwa wema Ni kwa wema

Yote unayotenda ni kwa wema


Sikuwahi jua kijana wa mathare wa salome

Ange heshimika Mungu wangu ni re re

Amenipa maisha bomba yani re re

Nimetambua heri kukuamini kuliko kukuelewa Nmetambua heri kukuamini kuliko kukuelewa 

Niruhusu nikwite kichuna ulichuna shida zangu 

Niruhusu nikwite mpenzi ulinipa mapenzi


Mungu wangu we ni mwema We ni mwema, we ni mwema Ukiahidi unatenda unatenda ulivynitendea

Mungu wangu we ni mwema We ni mwema, we ni mwema 

Nimeona mkono wako Maishani mwangu 

We ni mwema, Ni kwa wema

Yote unayotenda ni kwa wema Ni kwa wema

Yote unayotenda ni kwa wema


Nakumbuka mi nikiwa houseboy 

Ulisema tuliza my boy

Ata kama hizi mashida zilini follow

Back to back mungu wangu nlikuamini


Ni kwa wema

Yote unayotenda ni kwa wema Ni kwa wema

Yote unayotenda ni kwa wema

Because, Ni kwa wema

Yote unayotenda ni kwa wema Ni kwa wema

Yote unayotenda ni kwa wema


Now Playing...