Lyrics Page

Mimi ni Wa Juu Cover

By Glory Shavu

1,207 views Jun 6, 2026 updated

kuna wakati wa giza 
Mbele sioni najiuliza 
Mbona kama hizi shida 
Zimekawia kuisha 
Katikati ya maswali 
Nasikia sauti ndani, imebeba ujasiri 
Ikinitaka nikiri nikisema . .

Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu 
Mimi ni wa juu, juu sana 
Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu 
Mimi ni wa juu, juu sana . .

Sitafsiriwi kwa haya, machozi na magumu 
Mimi ni mshindi tu, kamusi ndiye Mungu 
Haijalishi ni giza, Yeye ni nuru yangu 
Nitashinda hii vita na yote yatakwisha 
Ntasimama tena, ntainuka tena 
Mimi ni wa juu tu, mimi ni wajuu tu 
Ntasimama tena, ntainuka tena 
Mimi ni wa juu tu, mimi ni wajuu tu . .

Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu 
Mimi ni wa juu, juu sana 
Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu 
Mimi ni wa juu, juu sana . .

Nawaza yaliyo juu, nawaza yaliyo juu 
Juu sana 
Nawaza yaliyo juu, nawaza yaliyo juu 
Juu sana .
Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu 
Mimi ni wa juu, juu sana . .

Sitafsiriwi kwa haya, machozi na magumu 
Mimi ni mshindi tu, kamusi ndiye Mungu 
Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu 
Mimi ni wa juu, juu sana . .

Original Song: Mimi ni Wa Juu by Joel Lwaga

Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.