Lyrics Page

Acha Waambiane

By Goodluck Gozbert

1,643 views Jun 6, 2026 updated
Acha waambiene wasemezane mabaya yako
Ila mema wa Mungu maishani mwako
Acha waambiene wasemezane mabaya yako
Ila mema wa Mungu maishani mwako

Usikate tamaa na yale unayoyaona, hata kama uko chini sana.
Najua wataambiana wewe ni masikini, lakini usichoke ipo siku watasema.
Najua wataambiana wewe hufai na umetembea na wanaume wengi.
Utakapofika wakati wa kuinuliwa aah, utashangaa wakiambiana tena
Eti yule mwana mama aliyekuwa ni kahaba, Ameolewa sasa ana familia.
Utasikia tena yule aliyekuwa kikaragosi, leo anatembelea gari.

Wataambiana eeh
Acha waambiene wasemezane mabaya yako
Ila mema wa Mungu maishani mwako
Acha waambiene wasemezane mabaya yako
Ila mema wa Mungu maishani mwako

Neno hili limekuwa la maana kwako lakini lina maana kubwa.
Waweza kuona wanadamu wanatembea kimya kimya.
Ila wametunza bei., usije kuona wanacheka nawe
Hujui moyoni wameweka nini. Unaweza ona wanakusalimia kwa
furaha zote ila kumbe wameshaambiana kwamba yule pale
Maana yule pale ni mrumba, eti yule pale alifeli kidato cha nne.
Na yule pale hana ada ya masomo.

Acha waambiene wasemezane mabaya yako
Ila mema wa Mungu maishani mwako
Acha waambiene wasemezane mabaya yako
Ila mema wa Mungu maishani mwako

Yule mrumba sasa amaezaa
Aliyefeli siku hizi ana degree,
Utasikia mengi na utamtukuza Mungu
Acha waambiane...

Acha waambiene wasemezane mabaya yako
Ila mema wa Mungu maishani mwako
Acha waambiene wasemezane mabaya yako
Ila mema wa Mungu maishani mwako




Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.