Umeshinda Yesu Lyrics

By Goodluck Gozbert

Lyrics

Nikitembea naona baraka 

Ooh kupona naona 

Umeshinda Yesu 


Nikitembea naona baraka 

Ooh kupona naona 

Umeshinda Yesu 


Umefanya mengi yaliyo ju ya fahamu zetu 

Ya kushindwa mtu kukautwa utukufu mku 

Si wa mashaka, si wasiwasi 

Ukishatenda inabadi kuwa ushuhuda mkuu 

Yale umefanya yamebadilisha na majina yetu 

Toka kuchekwa umeweka kicheko 

Waganga walitutesa hawakuweza kutuponya 

Daktari alishasema vita kwamba imeshindikana 

Ila kwa damu ya dhamani ya Yesu umeturejesha 

Na nimeona oh nimeona umeshinda 


Nikitembea (naona) baraka 

Ooh kupona (naona)

Umeshinda Yesu 

(*3)


Yesu Yesu Yesu 

Jina lako ni tamu 

Hata kama gumu 

Bado jina ni tamu 


Inatoa magonjwa (Yesu) 

Kiboko ya uchawi (Yesu) 

Fufua na wafu (Yesu) 

Tetemesha ardhi (Yesu) 

Inapasua miamba (Yesu) 

Vunja ngome kuzimu (Yesu) 

Wewe ni Mungu


Mara mi ni kimya * 

Maana yeye ni mfalme 

Dunia nzima yatii 

Hakuna wa kumpinga 

Tuna ujasiri (Yesu) 


Anatawala Jemedari wa vita 

Yeye ndiye ni simba wa Yuda


Oh asante (naona) 

Kupona (naona) 

Naona umeshinda Yesu 


Kwa macho nimeona watu wakitendewa miujiza 

Kwa macho nimeona watu wakifunguliwa vifungo 

Kwa macho nimeona watu wakitendewa miujiza 

Kwa macho nimeona watu wakifunguliwa vifungo 

...

Now Playing...