NinaKuhimidi Bwana Lyrics

By Israel Ezekia

Lyrics

Ninakumbuka ulivyoniokoa 

Toka katika mizigo ya dhambi 

Sasa ni huru nakuabudu Baba 

Ninakuhimidi Bwana 

Ninakumbuka ulivyoniponya 

Ukaniondolea magonjwa yote 

Sasa ni mzima nakwabudu Baba 

Ninakuhimidi Bwana 


Ninakuhimidi Bwana, Ninakuhimidi Bwana 

Sifa zako zi kinywani Mwangu 

Ninakuhimidi Bwana 


Ninakuhimidi Bwana, Ninakuhimidi Bwana 

Sifa zako zi kinywani mwangu 

Ninakuhimidi Bwana 


Uliyetenda tena utandaye 

Huna mwanzo wala mwisho 

Maisha yangu nakukabidhi 

Uitumie kama upendavyo

Wewe ni mwema tena mwaminifu 

Mtakatifu niwe wa pekee 

Mbingu na chi zimejaa utukufu wako 

Twakuhimidi pokea sifa zetu 

Pokea pokea 


Ninakuhimidi Bwana, Ninakuhimidi Bwana 

Sifa zako zi kinywani mwangu 

Ninakuhimidi Bwana 

Israel Ezekia - Ninakuhimidi (Official Video)

Now Playing...