Mimi ni Wa Juu Lyrics

By Joel Lwaga

Lyrics

kuna wakati wa giza 

Mbele sioni najiuliza 

Mbona kama hizi shida 

Zimekawia kuisha 

Katikati ya maswali 

Nasikia sauti ndani, imebeba ujasiri 

Ikinitaka nikiri nikisema 


Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu 

Mimi ni wa juu, juu sana 

Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu 

Mimi ni wa juu, juu sana 


Sitafsiriwi kwa haya, machozi na magumu 

Mimi ni mshindi tu, kamusi ndiye Mungu 

Haijalishi ni giza, Yeye ni nuru yangu 

Nitashinda hii vita na yote yatakwisha 

Ntasimama tena, ntainuka tena 

Mimi ni wa juu tu, mimi ni wajuu tu 

Ntasimama tena, ntainuka tena 

Mimi ni wa juu tu, mimi ni wajuu tu 


Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu 

Mimi ni wa juu, juu sana 

Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu 

Mimi ni wa juu, juu sana 


Nawaza yaliyo juu, nawaza yaliyo juu 

Juu sana 

Nawaza yaliyo juu, nawaza yaliyo juu 

Juu sana 


Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu 

Mimi ni wa juu, juu sana 


Sitafsiriwi kwa haya, machozi na magumu 

Mimi ni mshindi tu, kamusi ndiye Mungu 

Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu 

Mimi ni wa juu, juu sana 


JOEL LWAGA - MMI NI WAJUU (Official Video)

Now Playing...