Waweza Lyrics

By Joel Lwaga

Lyrics

Ghai Wewe waweza Baba 

Ghai Wewe waweza Baba 

Una nguvu Yesu una nguvu 

Una nguvu Yesu una nguvu 


Waweza (waweza) 

Waweza Yesu 


Wewe una matendo yako mema tumeonja 

Miujiza umetenda kweli tumeona 

Waliofungwa kweli uliwaweka huru (tumeonja) 

Asubuhi mchana na jioni tumeonja (Baba tumeonja) 

Baba nimeingia tumeona kwa macho 


Waweza Yesu (Yesu waweza) 

Waweza waweza 


Tumeona Baba ukitenda mema 

Tumeona Baba 

Miujiza yako ni mingi kwetu 

Tumeona Baba

Tumeona Baba ukitukanya mioyo 

Tumeona Baba 

Nyakati za magamu ukitufuta machozi 

Tumeona Baba 

Nyakati za ukiwa umetukumbatia 

Kutushika mkono kweli hatuwezi 

Temeona 


Bwana waweza 

Waweza, waweza Yesu 

Waweza, waweza Yesu

Waweza, waweza Yesu

Music Video

Now Playing...