Pambazuka Lyrics

By Karwirwa Laura

Lyrics

Giza ni jingi kabla ya kucha

Na hata sasa kutapambazuka

Mambo haya ni kwa muda

Janga hili litapita


Kutapambazuka, pambazuka

Pambazuka aaah

Kenya tutainuka, tutainuka

Tutainuka na kunawiri


Tumwamini Mungu, ye huwa hashindwi

Kwa pamoja tutapata ushindi

Tusimame wima, daima sisi Wakenya

Nyota yetu tena, itang'aa


Kutapambazuka, pambazuka

Pambazuka aaah

Kenya tutainuka, tutainuka

Tutainuka na kunawiri


Twajivunia tu wakenya

Nchi nzuri, nchi sawa

Ni dhahiri tu pamoja

Twaungana kwa furaha

Tupambane kwa kila janga


Kutapambazuka, pambazuka

Pambazuka aaah

Kenya tutainuka, tutainuka

Tutainuka na kunawiri


Yale yote yamepita

Mazuri na mabaya

Kwa huzuni na furaha

Bado tunashinda


Tunalo tumaini

Mambo yatakuwa sawa

Nguvu yetu ni umoja

Kutapambazuka


Kutapambazuka, pambazuka

Pambazuka aaah

Kenya tutainuka, tutainuka

Tutainuka na kunawiri


Tushikane, tujaliane

Tusaidiane, tutashinda

Tushikane, tujaliane

Tusaidiane, tutashinda


Kutapambazuka, pambazuka

Pambazuka aaah

Kenya tutainuka, tutainuka

Tutainuka na kunawiri


Kutapambazuka, pambazuka

Pambazuka aaah

Kenya tutainuka, tutainuka

Tutainuka na kunawiri

Now Playing...