Adonai Nakupamba na sifa zangu Lyrics
By Marion Shiko
Lyrics
Nakupamba na sifa zangu, Wewe kwangu Ebeneza (x3)
Nakuinua, wastahili, wapendeza, Mungu wangu
Jina lako, takatifu, wewe kwangu… Oh
Nakwita Adonai; Ewe U Bwana wangu
Nakwita Jehova Nissi; bendera yangu – vita ni vyako
Nakuita Jireh; hakuna chochote
Jehovah Shammah; pamoja nami
Meaning:
Honor you with my praises
Nakuinua, wastahili, wapendeza, Mungu wangu
Jina lako, takatifu, wewe kwangu… Oh
Nakwita Adonai; Ewe U Bwana wangu
Nakwita Jehova Nissi; bendera yangu – vita ni vyako
Nakuita Jireh; hakuna chochote
Jehovah Shammah; pamoja nami
Meaning:
Honor you with my praises
Song Information
- Artist
- Marion Shiko
- Genre / Category
- swahili
- Views
- 1,872