Adonai Nakupamba na sifa zangu Lyrics

By Marion Shiko

Lyrics

Nakupamba na sifa zangu, Wewe kwangu Ebeneza (x3)

Nakuinua, wastahili, wapendeza, Mungu wangu
Jina lako, takatifu, wewe kwangu… Oh

Nakwita Adonai; Ewe U Bwana wangu
Nakwita Jehova Nissi; bendera yangu – vita ni vyako
Nakuita Jireh; hakuna chochote
Jehovah Shammah; pamoja nami

Meaning:
Honor you with my praises
Now Playing...