Lyrics Page

Maombi

By Nadia Mukami

1,797 views Jun 6, 2026 updated

Nadia....

(hoyah hoyah hoyah)x2


Nilichopata nikiomba walisema kitakwisha,

Nikitoa shukrani hadharani wakasema najigamba

Hao binadamu walinipa wiki,

Sasa imepita miaka bado wanasubiri,


(Bridge)

Kazi ya Mungu haina makosa,

ingekuwa binadamu anatoa ningekosa,


(CHORUS)

Sio juju ni Maombi, ni maombi, ni maombi

Si kelele ni maombi, ni maombi, ni maombi X2


Hoya hoya,hoyaaah X3 


VERSE 2

Na mikono nitainua, magoti nipige

Nimweleze jinsi alivyotenda katika Maisha yangu...



(Bridge)

Kazi ya Mungu haina makosa,

ingekuwa binadamu anatoa ningekosa, (X2)


(CHORUS)

Sio juju ni Maombi, ni maombi, ni maombi

Si kelele ni maombi, ni maombi, ni maombi X2


VERSE 3:


Maneno ya wanadamu, yalinilenga kama mishaleee

Ila Mungu hawezi kubali uangukee,

Alichoanzisha leo, lazima atakamilisha weeeh


(Bridge)

Kazi ya Mungu haina makosa,

ingekuwa binadamu anatoa ningekosa, (X2)


(CHORUS)

Sio juju ni Maombi, ni maombi, 

Si kelele ni maombi, ni maombi, (X2)


Si uchawii weeeh

Si uleviii eeeh

Si kwa nguvu zangu mieee

Si KaNadia katambeeeee

Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.