Maombi Lyrics

By Nadia Mukami

Lyrics

Nadia....

(hoyah hoyah hoyah)x2


Nilichopata nikiomba walisema kitakwisha,

Nikitoa shukrani hadharani wakasema najigamba

Hao binadamu walinipa wiki,

Sasa imepita miaka bado wanasubiri,


(Bridge)

Kazi ya Mungu haina makosa,

ingekuwa binadamu anatoa ningekosa,


(CHORUS)

Sio juju ni Maombi, ni maombi, ni maombi

Si kelele ni maombi, ni maombi, ni maombi X2


Hoya hoya,hoyaaah X3 


VERSE 2

Na mikono nitainua, magoti nipige

Nimweleze jinsi alivyotenda katika Maisha yangu...



(Bridge)

Kazi ya Mungu haina makosa,

ingekuwa binadamu anatoa ningekosa, (X2)


(CHORUS)

Sio juju ni Maombi, ni maombi, ni maombi

Si kelele ni maombi, ni maombi, ni maombi X2


VERSE 3:


Maneno ya wanadamu, yalinilenga kama mishaleee

Ila Mungu hawezi kubali uangukee,

Alichoanzisha leo, lazima atakamilisha weeeh


(Bridge)

Kazi ya Mungu haina makosa,

ingekuwa binadamu anatoa ningekosa, (X2)


(CHORUS)

Sio juju ni Maombi, ni maombi, 

Si kelele ni maombi, ni maombi, (X2)


Si uchawii weeeh

Si uleviii eeeh

Si kwa nguvu zangu mieee

Si KaNadia katambeeeee

Nadia Mukami - Maombi (official Lyrics Video)

Song Information

Released
November 26, 2019
Genre / Category
swahili
Views
1,298
Now Playing...