Nibadilishe Lyrics

By Goodluck Gozbert

Lyrics

Kwanza nimenyoa deni 

Napenda sana mitindo ya nywele 

Kuruka usiseme, viwanja vipya ninakaribisha 

Kwenye kurasa za insta nakesha nikitafuta tena mabaya 

Niki zigi napata nalitafuta tena nalipa wala silipi madeni 

Nikikopa nabet wala sionangi ? 

Fungu la kumi kwangu iyo ni story 


Nasubiri jumapili ata unajua sina imani 

Japo ninaitikia amini nasubiria ukitenda kwanza 

Iyo nikubali, 

Kama Yesu najua, na idadi ya vitabu najua 

Na yalipo makanisa najua 

Ila kuhudhuria nashindwa 


Kwa ibada nasinzia sijui mdudu kaingia 

Ila nikiona beer nasikia kuchangamka 

Kwa ibada nasinzia sijui mdudu kaingia 

Ila nikiona beer nasikia kuchangamka 


Niko na ubaya, niko na ubaya 

Niko na ubaya Bwana nibadilishe 


Kuna vinyimbo vinanichoma hasa ile parapanda 

Ikipigwa wakizikana pia sirudi kosa 

Maneno yananichoma binadamu ni maua 

Ikipita wiki moja masikini nasahau kabisa 


Kwa ibada nasinzia sijui mdudu kaingia 

Ila nikiona beer nasikia kuchangamka 

Kwa ibada nasinzia sijui mdudu kaingia 

Ila nikiona beer nasikia kuchangamka 


Eeh Niko na ubaya, niko na ubaya 

Niko na ubaya Bwana nibadilishe 

Ooh Niko na ubaya, niko na ubaya 

Niko na ubaya Bwana nibadilishe 


Nakupa maisha na moyo utakase 

Ninapoanguka nishike nisimame 

Nakupa maisha na moyo utakase 

Ninapoanguka nishike nisimame 


Eeh Niko na ubaya, niko na ubaya 

Niko na ubaya Bwana nibadilishe 

Ooh Niko na ubaya, niko na ubaya 

Niko na ubaya Bwana nibadilishe 

Now Playing...