Lyrics Page

Nisaidie

By Pitson

1,518 views Jun 6, 2026 updated

Nisaidie Baba nisiwai lala njaa 

Nisaidie Baba nisipatwe na balaa 

Hasara iwe mbali nami hata kwa biashara 

Ninachouza wanunue nisibaki na bidhaa 

aah aaah aaah aaah


Nisiwai kosa pesa ya kulipa nyumba ya kukodisha 

Pia nipe yangu nisiishi sana ya kukodisha 

Jinsi ya kupata doo wewe Baba ndiye utanionyesha 

Hutatoa vitu vinavyonikondesha 


aah aaah Nisaidie

aaah aaah Nisaidie 


Itakuwaje baba jirani wanajua nimeokoka 

Na vile mimi ninavyoteseka niko na deni hata kwa mama mboga 

Wamenidharau watakudharau 

Mungu wa ibrahimu waonyeshe kwamba hujanisahau 

uuuu uuuu uuuu 


Kama Shadrack Meshack na Abedinego 

Hata wanirushe kwenye moto 

Nikikosa ya dunia bado sitawainamia 

Sitawainamia 

aaaah aaah Nisaidie 

aaaaaaah Nisaidie 


Shadrack Meshack na Abedinego 

Hata wanirushe kwenye moto 

Nikikosa ya dunia bado sitawainamia 

Sitawainamia  

aaaaaaah uuuuuuh


Kwa kila kitu nifanyacho Baba nisaidie,nisaidie 

Kwa kazi ya mikono yangu nisaidie 

Uniweke mbali na balaa 

Niweke mbali na hasara baba nisaidie 

Nisaidie


Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.