Nifanane Nawe Lyrics

By Wahu Kagwi

Lyrics

Sishangai ulimwengu kupa sifa Jehovah eeh

Muumba wa vyote kwetu 

una manufaa zaidi, Baba aah


Unawaponya wagonjwa na wenye vifafa 

Vipofu na vilema 

Hata niwe na shida zenye utatata 

Miujiza unatenda 

Wacha nikuiite Yahweh 

Mfalme wa wafalme 

Hakuna kama wewe, uhimidiwe Bwana 


Oh moyo/Yahweh (Ninataka nifanane nawe) 

Wema wako (Ninataka nifanane nawe) 

Oh Yahweh (Ninataka nifanane nawe)


Wengine wanashindwa vumilia kwako 

Wanaenda kuchawiya kipato

Hawajui fahari ni wewe, utajiri wako wa milele

Mbinguni na duniani, oh Baba 


Unawaponya wagonjwa na wenye vifafa 

Vipofu na vilema 

Hata niwe na shida zenye utatata 

Miujiza unatenda 

Wacha nikuiite Yahweh 

Mfalme wa wafalme 

Hakuna kama wewe, uhimidiwe Bwana 


Oh moyo/Yahweh (Ninataka nifanane nawe) 

Wema wako (Ninataka nifanane nawe) 

Oh Yahweh (Ninataka nifanane nawe)


I want to be just like You (Ninataka nifanane nawe) 

To be like you (ninataka nifanane) 

Oh Yahweh (ninataka nifanane)

Now Playing...