Jose Wamapendo - Ni tabibu wa Karibu - imbeni malaika sifa kwa Yesu Bwana (9)


Ni tabibu wa Karibu - imbeni malaika sifa kwa Yesu Bwana (9) Lyrics

Ni tabibu wa karibu; tabibu wa ajabu;
na rehema za daima; ni dawa yake njema.

Imbeni, malaika, sifa za Yesu Bwana;
pweke limetukuka jina lake Yesu.

Hatufai kuwa hai, wala hatutumai,
ila yeye kweli ndiye atupumzishaye.

Imbeni, malaika, sifa za Yesu Bwana;
pweke limetukuka jina lake Yesu.

Dhambi pia na hatia ametuchukulia;
Twenendeni na amani hata kwake mbinguni.

Huliona tamu jina, la Yesu kristo Bwana,
yuna sifa mwenye kufa asishindwe na kufa.

Kila mume asimame, sifa zake zivume;
Wanawake na washike kusifu jina lake.

Na vijana wote tena, wampendao sana,
waje kwake wawe wake kwa utumishi wake.


Ni tabibu wa Karibu - imbeni malaika sifa kwa Yesu Bwana (9) Video

  • Song: Ni tabibu wa Karibu - imbeni malaika sifa kwa Yesu Bwana (9)
  • Artist(s): Jose Wamapendo
  • Album: As We Worship Live
  • Release Date: 03 Feb 2009
Audio Preview: Download / Stream : Amazon Music / iTunes


Share:

Write a review/comment/correct the lyrics of Ni Tabibu Wa Karibu - Imbeni Malaika Sifa Kwa Yesu Bwana (9):

0 Comments/Reviews