1 Mambo ya Nyakati 18 : 11 1st Chronicles chapter 18 verse 11

Swahili English Translation

1 Mambo ya Nyakati 18:11

Hivi pia mfalme Daudi akavifanya wakfu kwa Bwana, pamoja na hiyo fedha na dhahabu, aliyoteka nyara kwa mataifa yote; kwa Edomu, na kwa Moabu, na kwa wana wa Amoni, na kwa Wafilisti, na kwa Amaleki.
soma Mlango wa 18

1st Chronicles 18:11

These also did king David dedicate to Yahweh, with the silver and the gold that he carried away from all the nations; from Edom, and from Moab, and from the children of Ammon, and from the Philistines, and from Amalek.