2 Samweli 11 : 2 2nd Samuel chapter 11 verse 2

Swahili English Translation

2 Samweli 11:2

Ikawa wakati wa jioni, Daudi akaondoka kitandani, akatembea juu ya dari ya jumba la mfalme; na alipokuwa juu ya dari aliona mwanamke anaoga; naye huyo mwanamke alikuwa mzuri sana, wa kupendeza macho.
soma Mlango wa 11

2nd Samuel 11:2

It happened at evening, that David arose from off his bed, and walked on the roof of the king's house: and from the roof he saw a woman bathing; and the woman was very beautiful to look on.