Kutoka 31 : 18 Exodus chapter 31 verse 18
Swahili | English Translation |
---|---|
Kutoka 31:18
Hapo Bwana alipokuwa amekwisha zungumza na Musa katika mlima wa Sinai, akampa hizo mbao mbili za ushuhuda, mbao mbili za mawe, zilizoandikwa kwa chanda cha Mungu.
|
Exodus 31:18He gave to Moses, when he finished speaking with him on Mount Sinai, the two tablets of the testimony, stone tablets, written with God's finger. |