Mathayo 13 : 52 Matthew chapter 13 verse 52
Swahili | English Translation |
---|---|
Mathayo 13:52
Akawaambia, Kwa sababu hiyo, kila mwandishi mwenye elimu ya ufalme wa mbinguni amefanana na mtu mwenye nyumba atoaye katika hazina yake vitu vipya na vya kale.
|
Matthew 13:52He said to them, "Therefore, every scribe who has been made a disciple in the Kingdom of Heaven is like a man who is a householder, who brings out of his treasure new and old things." |