Annette Tenaya - Wanitosheleza

Chorus / Description : Wanitosheleza wanionyesha njia
Huniachi nianguke Baba
Wanipenda sana wanijali pia
Nasema nakushukuru

Wanitosheleza Lyrics

Oh nimetafuta kila kona
Sijampata mmoja ambaye anitosheleza 
Oh mimi nimeonja sasa nimeona 
Ya kwamba wewe u mwema uwoooh 
Nilipocheka sababu ni furaha yako 
Nilipokwita Baba kanisikia 
Na sa nimetambua 

Wanitosheleza wanionyesha njia 
Huniachi nianguke Baba 
Wanipenda sana wanijali pia 
Nasema nakushukuru 
(rudia *2)

Oh upendo wako ni wa kweli (O
Upendo usio na kamba zilizofungwa hapa na pale 
Oh kanifia msalabani nilipokuwa kwa dhambi 
Na sasa niko huru uwooh 
Nilipocheka sababu ni furaha yako 
Nilipokwita Baba kanisikia 
Na sasa nimetambua 

Wanitosheleza wanionyesha njia 
Huniachi nianguke Baba 
Wanipenda sana wanijali pia 
Nasema nakushukuru 

I have tasted and now I see
There?s Lord you are so good to me

Wanitosheleza wewe ndiye mwanga wangu 
wanionyesha njia, mwaminifu tena sana 
Wanitosheleza, Nitakusifu wewe mile 
wanionyesha njia, Mpenzi wa roho yangu 

Nilipocheka sababu ni furaha yako 
Nilipokwita Baba kanisikia 
Na sa nimetambua 

Wanitosheleza wanionyesha njia 
Huniachi nianguke Baba 
Wanipenda sana wanijali pia 
Nasema nakushukuru 
Wanitosheleza wanionyesha njia ...

Wanitosheleza Video

  • Song: Wanitosheleza
  • Artist(s): Annette Tenaya


Share: