Chorus / Description :
Sitabaki kama nilivyo
Silalamiki, wala sikufuru
Najua ni darasa napitishwa
Imani yangu ipo kwenye kipimo .
Maisha haya, ninapita tu
Hali hii ya sasa ni kwa muda tu
Ushindi wangu, U karibu nami
Mtetezi wangu, yu hai . .
Sitabaki kama nilivyo
Silalamiki, wala sikufuru
Najua ni darasa napitishwa
Imani yangu ipo kwenye kipimo . .
Najua nitapita tu
Sitamani za wengine wala sijilinganishi
Najua wakati wangu upo
Siogopeswhi na mapito ninayoyapitia
Namwamini yule aliyeruhusu nipite . .
Sitabaki kama nilivyo
Sitabaki kama nilivyo
Sitabaki kama nilivyo eeh
Mtetezi wangu
Yu hai (Yu hai)
Sitabaki kama nilivyo .
Original Song: Sitabaki Nilivyo by Joel Lwaga