kama sio wewe ningekuwa wapi mimi
kama sio wewe ningekuwa wapi mimi
ningekuwa wapi mimi
kama sio wewe ningekuwa wapi mimi
kama sio wewe ningekuwa wapi mimi
ningekuwa wapi mimi
Umejawa na rehema, na nehema tele
kwa wema wako bwana, leo nimeokolewa
kwa huruma zako nyingi,mimi nimesamehewa
na kwa pendo lako kuu, mimi nimekombolewa
Nasema umejawa na rehema, na nehema tele
kama sio wewe ningekuwa wapi mimi
kama sio wewe ningekuwa wapi mimi
ningekuwa wapi mimi
kama sio wewe ningekuwa wapi mimi
kama sio wewe ningekuwa wapi mimi
ningekuwa wapi mimi
Umejawa na rehema, na nehema tele
shetani alionea , Yesu ukanitafuta
ukaniokea wewe, kwa rehema na nehema
ukanirejesha kwako, ukaniita mwanao
Kwa neema zako na rehema, mimi nimesamehewa
kama sio wewe ningekuwa wapi mimi
kama sio wewe ningekuwa wapi mimi
ningekuwa wapi mimi
kama sio wewe ningekuwa wapi mimi
kama sio wewe ningekuwa wapi mimi
ningekuwa wapi mimi
Umejawa na rehema, na nehema tele
kama sio wewe, ningeitwa nani leo
ningekuwa sina jina, ningekuwa sina maana
Lakini kwa kifo chako, mimi nimepata kuwa na Jina
ninaitwa mwana wa Mungu, ninaitwa mtakatifu
kama sio wewe ningekuwa wapi mimi
kama sio wewe ningekuwa wapi mimi
ningekuwa wapi mimi
kama sio wewe ningekuwa wapi mimi
kama sio wewe ningekuwa wapi mimi
ningekuwa wapi mimi
Umejawa na rehema, na nehema tele
Asante Yesu, kwa fadhili zako nyingi
asante baba, kwa upendo wako nyingi
umenisamehe mimi, umeniosha
ukanifanya wako, asante
Were it not for you, where could I be
Psalms 124:1 "Had it not been the LORD who was on our side..."
Lyrics Page
Kama Sio Wewe
5,818 views
Jun 14, 2026 updated
Verified editorial review
Dan Em's song 'Kama Sio Wewe' is a Swahili gospel song expressing gratitude to God for salvation and mercy. The lyrics repeatedly ask where the singer would be without God, emphasizing that through Jesus' sacrifice, they have been forgiven, redeemed, and called a child of God. The song references Psalm 124:1, acknowledging God's protective and saving grace. It is a heartfelt testimony of thankfulness for God's love and faithfulness.
Lyrics Verified by Editorial Team