Uniongoze na huruma zako
Usipo nibariki siwezi enda
Minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda
Minajuwa bila nguvu zako siwezi kwenda
Kwa mkono wako kweli umenibariki ii
Kwa mkono wako kweli umenibariki
Minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda
Kwa mkono wako kweli umenibariki ii
Kwa mkkono wako kweli umenibariki
Baraka zako ziwe na mimi,
Mapenzi yako yawe na mimi,
Namacho yako yawe na mimi
Kwa Mkono wako kweli umenibariki, kwa mkono wako kweli umenibariki
Ulinichagua kabla sijazaliwa
Ukanichagua nabii wa mataifa yo
Utaninitangulia siatogopa Chochote
Ulinichagua kabla sijazaliwa
Ukanichagua nabii wa mataifa yo
Utaninitangulia siatogopa Chochote
Baraka zako ziwe na mimi,
Mapenzi yako yawe na mimi,
Namacho yako yawe na mimi
Kwa Mkono wako kweli umenibariki, kwa mkono wako kweli umenibariki
Baraka zako ziwe na mimi,
Mapenzi yako yawe na mimi,
Namacho yako yawe na mimi
Kwa Mkono wako kweli umenibariki, kwa mkono wako kweli umenibariki
Tembea nami ee bwana
Tembea nami baba yoo
Lyrics Page
Uniongoze
16,489 views
Jun 10, 2026 updated
Verified editorial review
Ephraim Sekeleti’s “Uniongoze” is a Swahili prayer asking God to guide and bless him. He acknowledges he cannot move forward without God’s strength and that God’s hand has truly blessed him. The song also reflects on being chosen before birth, which connects to the idea of God’s purpose for his life. He asks for God’s blessings, love, and presence to remain with him, and he trusts that God will go before him, removing fear.
Lyrics Verified by Editorial Team