Lyrics Page

Niko Hapa

By Martha Mwaipaja

1,881 views Jun 6, 2026 updated

Niko hapa, niko hapa 

Niko hapa mimi nakungoja niko hapa 

Nimejaribu hakuna nililoweza 

Niko kwako Mungu wangu nitetee 

Nimefika mwisho wa akili zangu Mungu 

Baba Baba Baba unitetee 

Wewe ngao yangu, wewe uzima wangu 

Ponya majeraha yangu Baba 


Nimesikia umeponya wengi 

Na mimi Baba niko hapa 

Wewe dawa Yangu, wewe uzima wangu 

Ponya majeraha yangu nitetee 

Hakuna aliyeweza nisaidia 

Niko kwako Bwana 

Siwezi siwezi ona madaktari wote wameshindwa 

Nimekukimbilia Mungu 

Hakuna aliyekuja kwako ukamwacha 

Mponyaji wangu...


Niko hapa, niko hapa 

Niko hapa mimi nakungoja niko hapa 

Niko hapa, niko hapa 

Niko hapa mimi nakungoja niko hapa 

Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.