Nasikia kuitwa na sauti yako
Nikasafiwe kwa damu, Ya kwangikwa kwako.
Nimesogea Mtini pako,
Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako
Ni mnyonge kweli,Umenipa nguvu,
Ulivyonisafi taka, Ni utimilivu.
Nimesogea Mtini pako,
Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako
Yesu hunijuvya; Mapenzi, imani;
Tumai, amani, radhi, Hapa na Mbinguni.
Nimesogea Mtini pako,
Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako
Huipa imara, Kazi yake, ndani:
Huongezeka neema, Ashindwe Shetani.
Nimesogea Mtini pako,
Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako
Huishuhudia, Myoyo ya imani
Ya kuzipata ahadi, Wakimuamini.
Nimesogea Mtini pako,
Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako
Napata wokovu, Wema na neema;
kwako Bwana nina nguvu, Na haki daima
Nimesogea Mtini pako,
Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako
Nimesogea Mtini Pako
Nuru Kitambo's song "Nimesogea Mtini" is a Swahili Christian worship song about drawing near to the cross of Jesus for cleansing and strength. The lyrics express humility, gratitude for salvation, and reliance on God's grace. The singer acknowledges being weak but empowered by God, and speaks of receiving faith, peace, and victory over Satan. The repeated chorus emphasizes approaching the cross to be cleansed by Christ's blood. The song reflects themes of surrender, faith, and thanksgiving for God's love and redemption.