Walionicheka Lyrics

By Rose Muhando

Lyrics

Masimango na maneno makali ndio yaliyokuwa fungu langu 

Shida taabu ziliumiza sana moyo wangu 

Masimango na maneno makali ndio yaliyokuwa fungu langu 

Maamivu ya moyo yaliinamisha nafsi yangu 

Asante Yesu kwa kuwa uliona taabu yangu 

Nakushukuru kwa kuwa uliona msiba wangu 


Na sasa ona ninaendelea 

Walionicheka wanaona haya 

Asante Yesu kwa kunishindia 

Walionicheka wanaona haya 


Walikuwa ni mahipokriti 

Hawakuwa ni marafiki wangu wa kweli 

Ikifika ni wakati wa mahitaji 

Waniepa manze kila wakati 

Hawakutaka mi niokoke kabisa 

Walitaka mimi nichanganye kabisa 

Ona vile mimi ninang'ara kabisa 

Ju nilifuata Yesu kabisa 

Yesu wangu mi nakufuata 

Wacha hao waendee naree 


Na sasa ona ninaendelea 

Walionicheka wanaona haya 

Asante Yesu kwa kunishindia 

Walionicheka wanaona haya 


Asante Yesu mwingi wa huruma 

Umenishika mkono mbele naendelea 

Eeh Yesu mwingi wa huruma 

Umenishika mkono mbele naendelea 


Uko nami, uko nami Baba 

Uko nami, uko nami Baba


Waonyeshe waonyeshe 

Waonyeshe uko nami eeeh

...

"Ringtone X Rose Muhando - Walionicheka (Official Video)For skiza DIAL *811*337#"

Now Playing...