Emily Kanchori - Kama Sio Wewe 1

Chorus / Description : kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu

Kama Sio Wewe 1 Lyrics

Ulinijua toka tumboni mwa mama yangu
mkono wako mkuu ukawa juu yangu
ukanipenda hata pasipokukutambua
ukanitoa mautini ukanifanya wako

Chorus
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu

safari pamoja nawe sio mteremko
milima mabonde umenikomboa Yesu
uliahidi kutoniacha pekee yangu
nashuhudia uaminifu wako kwangu

Chorus
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu

safarini Baba nimekuita ukaitika
safarini Baba machozi mengi umeyafuta
nimejua Mungu ajibuye maombi
nimepata rafiki asiyebadilika


Chorus
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu
kama sio wewe Yesu ningekuwa wapi?
nashukuru Baba kwa upendo wako mkuu

Kama Sio Wewe 1 Video

  • Song: Kama Sio Wewe 1
  • Artist(s): Emily Kanchori


Share: