Chorus / Description :
Wastahili Bwana.
Wastahili Bwana.
Ulikufa msalabani,
niokolewe,
wastahili Bwana
Wastahili Bwana.
Wastahili Bwana.
Ulikufa msalabani,
niokolewe,
wastahili Bwana
Wastahili Bwana.
Wastahili Bwana.
Ulibeba mizigo yangu,
sasa ni huru,
Wastahili Bwana
Uliacha utukufu wako.
Ukaishi kati yetu kwa mapendo.
Ulipatwa na simamzi ulinifia
Wastahili Bwana
Uliwekwa kaburini Bwana.
Ukafufuka wewe Bwana wangu.
Ulipaa juu mbinguni na watawala
Nakusifu Yesu
Theme: You are worthy oh Lord