Sheddy - 23 Ni Salama Rohoni Mwangu

Chorus / Description : It is well with my soul, When peace like a river
Nionapo amani kama shwari, ama nionapo shida;
Kwa mambo yote umenijulisha, ni salama rohoni mwangu.
Salama, rohoni, ni salama rohoni mwangu!

23 Ni Salama Rohoni Mwangu Lyrics

Nionapo amani kama shwari, ama nionapo shida;
Kwa mambo yote umenijulisha, ni salama rohoni mwangu.


Salama, rohoni, ni salama rohoni mwangu!

Ingawa shetani atanitesa, nitajipa moyo
kwani Kristo ameona unyonge wangu, amekufa kwa roho yangu. .

Salama, rohoni, ni salama rohoni mwangu!

Dhambi zangu zote, wala si nusu, zimewekwa msalabani;
Wala sichukui laana yake, ni salama rohoni mwangu

Salama, rohoni, ni salama rohoni mwangu!

Ee Bwana himiza siku ya kuja, panda itakapolia;
utakaposhuka sitaogopa, ni salama rohoni mwangu.


Salama, rohoni, ni salama rohoni mwangu!
Hymn
It is well with my soul




23 Ni Salama Rohoni Mwangu Video

  • Song: 23 Ni Salama Rohoni Mwangu
  • Artist(s): Sheddy


Share: