Chorus / Description :
It is well with my soul, When peace like a river
Nionapo amani kama shwari, ama nionapo shida;
Kwa mambo yote umenijulisha, ni salama rohoni mwangu.
Salama, rohoni, ni salama rohoni mwangu!
Nionapo amani kama shwari, ama nionapo shida;
Kwa mambo yote umenijulisha, ni salama rohoni mwangu.
Salama, rohoni, ni salama rohoni mwangu!
Ingawa shetani atanitesa, nitajipa moyo
kwani Kristo ameona unyonge wangu, amekufa kwa roho yangu. .
Salama, rohoni, ni salama rohoni mwangu!
Dhambi zangu zote, wala si nusu, zimewekwa msalabani;
Wala sichukui laana yake, ni salama rohoni mwangu
Salama, rohoni, ni salama rohoni mwangu!
Ee Bwana himiza siku ya kuja, panda itakapolia;
utakaposhuka sitaogopa, ni salama rohoni mwangu.
Salama, rohoni, ni salama rohoni mwangu!
Hymn
It is well with my soul