Mwenye Majibu

By Madam Flora

Lyrics

Ufumu hauwezi kukusaidia 

Rafiki hawezi kukusaidia 

Ukuyu hauwezi kukusaidia 

Mpenzi hawezi kukusaidia 


Umeshindwa hilo hilo 

Kwa mwanadamu hilo hilo 

Ulilete hilo hilo 

Kwa Bwana Yesu hilo hilo 


Amesema anatenda umwamini yeye 

Hatawai acha neno lipotee 

Amesema atatenda nimeona 

Hajawai shindwa kitu mfalme 


Nira yake moja inabadili maisha 

Nira yake moja huleta amani 

Akisema sawa utaheshimiswa 

Mwite tu, mwite tu, mwite tu 


Yupo mwenye majibu, yeye asiyelala 

Ndio kwake ndio, hakuna akuna 

Yupo mwenye majibu, yeye asiyelala 

Ndio kwake ndio, hakuna akuna 


Kiti cha enzi, kiti cha sifa 

Nyenyekea utapata majibu 

Kiti cha karne zamani zote 

Amini amini kuna jibu 

Ameketi kwenye enzi hakuna jambo gumu tena 

Kama afya na uzima lolote amini amini 


Anajua maumivu, anaona na machozi  

Yeye ni Baba, yeye mlezi daima daima daima 


Nira yake moja inabadili maisha 

Nira yake moja huleta amani 

Akisema sawa utaheshimiswa 

Mwite tu, mwite tu, mwite tu 


Yupo mwenye majibu, yeye asiyelala 

Ndio kwake ndio, hakuna akuna 

Yupo mwenye majibu, yeye asiyelala 

Ndio kwake ndio, hakuna akuna 


Yupo mwenye majibu, yeye asiyelala 

Ndio kwake ndio, hakuna akuna 

Yupo mwenye majibu, yeye asiyelala 

Ndio kwake ndio, hakuna akuna 


Tunakuangalia, tegemea, egemea Bwana 

Mbawani mwako ni salama 

Tena jamari wa majeshi, mshindi wa yote 

Utashinda kwa heshima na anayo.. 


Yupo mwenye majibu, yeye asiyelala 

Ndio kwake ndio, hakuna akuna 

Madam flora X Goodluck Gozbert - Mwenye Majibu(Official video)