Chorus / Description :
Msalabani pa mwokozi, hapo niliomba upozi, akaniokoa mpenzi, mwana wa Mungu.
Mwana wa Mungu, mwokozi wangu, akaniokoa mpenzi, mwana wa Mungu
Msalabani pa mwokozi, hapo niliomba upozi,
akaniokoa mpenzi, mwana wa Mungu.
Mwana wa Mungu, mwokozi wangu,
akaniokoa mpenzi, mwana wa Mungu
Chini ya mti msumbufu, niliomba utakatifu,
alinikomboa kwa damu, mwana wa Mungu.
Aliniokoa dhambini, ikawa kunikaa ndani,
aliponifia mtini, mwana wa Mungu.
Damu ya Yesu ya thamani, huniokoa makosani,
huniendesha wokovuni, mwana wa Mungu.
Hicho kijito cha gharama, leo jivike kwa kuzama,
kwake uuone uzima, mwana wa Mungu.