Beda Andrew - Nayaweza

Chorus / Description : Nayaweza
Nayaweza
Nayaweza
Nayaa

Nayaweza Lyrics

Baba amesema kwamba tumwite nae atasikia 
Tena amesema kwamba tukimwomba jambo atatutendea 
Ila tuwe na imani nayeye 
Tukiamini anaweza yote eeeeh 
Mwenye hofu ajigange moyo 
Akiamini Mungu yupo 
Huku tukifanya kazi 
Tukipambana tukipambana 
Tukimwamini wetu mwokozi Yesu wa maana ashushae baraka aaah aaah 
 
Nayaweza 
Nayaweza 
Nayaweza 
Nayaa 
Nayaweza 
Nayaweza 
Nayaweza 
Nayaaaa 
 
Palipo na nia pana njia tena hutimia so nenda polepole utafika,Yanini kukimbia eeenh 
Fanya magumu kama hujayaona japo yanachoma usijali wewe 
Wanaokucheka watapata homa 
Pale wakikuona unasonga mbele 
Daily mapambano pigana 
Ukisaka Day 
Wanaokucheka Leo achana nao 
Tazama kesho yakooooh 
 
Nayaweza 
Nayaweza 
Nayaweza 
Nayaweza 
Nayaaaa 
Nayaweza 
Nayaweza 
Nayaweza 

Nayaweza Video

  • Song: Nayaweza
  • Artist(s): Beda Andrew


Share: