Christina Shusho - Muujiza

Chorus / Description : Mimi ni muujiza, maisha yangu ni muujiza
Eh Bwana wee Kwangu ni muujiza
Nikilala ni muujiza, nikiamuka ni muujiza
Eh Bwana wewe Kwangu ni muujiza

Muujiza Lyrics

Nikilala niamke, mkiona natembea 
Mwenzenu kwangu ni muujiza 
Asubuhi kuna kunakucha 
Jioni ikiingia maisha Yangu 
Mimi ni muujiza tu 

Siku ikipita mwezi na mwaka unakwisha 
Mimi kwangu ni muujiza tu 
Eeeeh Yesu ee Yesu Bwana wangu wee 
Kwangu ni muujiza eeh 

Mimi ni muujiza, maisha yangu ni muujiza 
Eh Bwana wee Kwangu ni muujiza 
Nikilala ni muujiza, nikiamuka ni muujiza 
Eh Bwana wewe Kwangu ni muujiza 

Kuna waliolala hawakuamka, 
Eh Bwana, naona ni muujiza 
Walionza safari, hawakufika 
Mimi leo najiona ni muujiza 
Kuwa hai, kutangaza neno lako 
Bwana Kwangu mimi ni muujiza 
Sina sababu ya kunyamaza  
Maana kwangu, wewe Bwana ni muujiza 

Mimi ni muujiza, maisha yangu ni muujiza 
Eh Bwana wee Kwangu ni muujiza 
Nikilala ni muujiza, nikiamuka ni muujiza 
Eh Bwana wewe Kwangu ni muujiza 

Hoyaa hoyaa, Oh Yesu 
Ah Yesu wangu oooh  

Mimi ni muujiza, maisha yangu ni muujiza 
Eh Bwana wee Kwangu ni muujiza 
Nikilala ni muujiza, nikiamuka ni muujiza 
Eh Bwana wewe Kwangu ni muujiza 

Muujiza Video

  • Song: Muujiza
  • Artist(s): Christina Shusho


Share: