Siku ya tatu ya arusi ya Canaan
Mji wa Galilaya na mamake Yesu alikuwepo
Yesu na Yeye alialikwa arusini
Pamoja na wanafunzi wake eeh eeh
Yesu akamwambia mama tuna nini nawe
Kwani saa yangu haijawadia
Divai kawaishia
Mamake Yesu kamwambia
Hakuna divai, hakuna divai, hakuna divai
Maria akawaambia watumishi
Yoyote akisema nyinyi fanye
Nikiwa na wewe (sitoaibika)
Pamoja na wewe (sitoaibika)
Mimi na wewe (sitoaibika)
Sito sito sito kamwe
Katika kila hali iwe ngumu iwe shwari
Mungu husema, Mungu husema
Na akisema
In place of shame He wil give you double double
In place of dishonour he will give you everlasting jou
Badala ya aibu atakupa maradufu
Kwa utukufu wake mi naenjoy
Mamake Yesu kamwambia
Hakuna divai, hakuna divai, hakuna divai
Hakuna divai, hakuna divai, hakuna divai
Maria akawaambia watumishi
Yoyote akisema nyinyi fany
Sitoaibika, sitoaibika, sito- sitoaibika
Write a review/comment/correct the lyrics of Divai:
Divai lyrics by Christina
Shusho Mercy Masika
Siku ya tatu ya arusi ya Canaan
Mji wa Galilaya na mamake Yesu alikuwepo
Yesu na Yeye alialikwa arusini
Pamoja na wanafunzi wake eeh eeh
Yesu akamwambia mama tuna nini nawe
Kwani saa yangu haijawadia
Divai kawaishia
Mamake Yesu kamwambia
Hakuna divai, hakuna divai, hakuna divai
Maria akawaambia watumishi
Lolote akisema nyinyi fanyeni
Nikiwa na wewe (sitoaibika)
Mimi na wewe (sitoaibika)
Pamoja na wewe (sitoaibika)
Sito sito sito kamwe ( sitoaibika)
Rafiki yesu ( sitoaibika)
Jehovah Jireh (sitoaibika)
Sito sito sito kamwe
Katika kila hali iwe ngumu iwe shwari
Mungu husema, Mungu husema
Na akisema, Wala habadilishi
In place of shame He wil give you double double
In place of dishonour he will give you everlasting joy
Badala ya aibu atakupa maradufu
Kwa utukufu wake mi naenjoy
Divai kawaishia
Mamake Yesu kamwambia
Hakuna divai, hakuna divai, hakuna divai
Hakuna divai, hakuna divai, hakuna divai
Maria akawaambia watumishi
Lolote akisema nyinyi fanyeni
Sitoabika, sitoaibika, sito- sitoabika
Divai lyrics by Christina
Shusho Mercy Masika
Siku ya tatu ya arusi ya Canaan
Mji wa Galilaya na mamake Yesu alikuwepo
Yesu na Yeye alialikwa arusini
Pamoja na wanafunzi wake eeh eeh
Yesu akamwambia mama tuna nini nawe
Kwani saa yangu haijawadia
Divai kawaishia
Mamake Yesu kamwambia
Hakuna divai, hakuna divai, hakuna divai
Maria akawaambia watumishi
Lolote akisema nyinyi fanyeni
Nikiwa na wewe (sitoaibika)
Mimi na wewe (sitoaibika)
Pamoja na wewe (sitoaibika)
Sito sito sito kamwe ( sitoaibika)
Rafiki yesu ( sitoaibika)
Jehovah Jireh (sitoaibika)
Sito sito sito kamwe
Katika kila hali iwe ngumu iwe shwari
Mungu husema, Mungu husema
Na akisema, Wala habadilishi
In place of shame He wil give you double double
In place of dishonour he will give you everlasting joy
Badala ya aibu atakupa maradufu
Kwa utukufu wake mi naenjoy
Divai kawaishia
Mamake Yesu kamwambia
Hakuna divai, hakuna divai, hakuna divai
Hakuna divai, hakuna divai, hakuna divai
Maria akawaambia watumishi
Lolote akisema nyinyi fanyeni
Sitoabika, sitoaibika, sito- sitoabika