Fungua Mbingu

By Emma Omonge

Lyrics


Fungua Mbingu Lyrics – Emma Omonge youtu.be




Naomba nitembee chini ya mbingu lililofunguka

Naomba nihudumu chini ya uwepo uloshuka

Naomba mkono wako usitoke kichwani mwangu

Uzito wako dhamana kuu kwangu


Naomba nitembee chini ya mbingu lililofunguka

Naomba nihudumu chini ya uwepo uloshuka

Naomba mkono wako usitoke kichwani mwangu

Uzito wako dhamana kuu kwangu


Fungua mbingu, majibu yapatikane

Fungua mbingu uuh

Fungua mbingu, majibu yapatikane

Fungua mbingu uuh


Fungua mbingu, majibu yapatikane

Fungua mbingu uuh

Fungua mbingu, majibu yapatikane

Fungua mbingu uuh


Tazama mambo machungu yananigonga moyoni

Tazama mambo mazito yananipiga moyoni


Nimkimbiliaye amejeruhiwa

Nimwombaye amepungukiwa

Nimwitae ameshushika

Ni wewe tu jibu langu


Nimkimbiliaye amejeruhiwa

Nimwombaye amepungukiwa

Nimwitae ameshushika

Ni wewe tu jibu langu


Uliye na funguo, fungua milango yangu

Uliye na sikio, sikia maombi yangu

Nifungulie kwa huduma zako

Kiachiliwe kilicho changu

Yakuguse machozi yangu

Nifungulie eeh


Fungua mbingu, majibu yapatikane

Fungua mbingu uuh

Fungua mbingu, majibu yapatikane

Fungua mbingu uuh


Fungua mbingu, majibu yapatikane

Fungua mbingu uuh

Fungua mbingu, majibu yapatikane

Fungua mbingu uuh