Lyrics Page

Bado Nasimama

By Kambua

2,090 views Jun 6, 2026 updated

Bado nasimama, bado naendelea
Bado najikaza, nifike kule

Bila nehema na rehema zako, ningekuwa wapi mimi
Bila upendo, na fadhili zako, maisha yangu yangekuwa bure
Kwa wema wako, kanisimamisha
Na imani yangu, ukaiweka salama
Kama si wewe, Mwamba wa wokovu wangu
Nisingeweza. ningeangamia

Nainua macho yangu kwako wewe Baba yangu
Msaada wangu utatoka wapi
Msaada wangu u katika bwana
Hasinzii anilindaye, haniachi mimi niteleze
Anipa nguvu, na uwezo wake
Ili mimi nifike kule
Nifike kule

Bado nasimama, bado naendelea
Bado najikaza, nifike kule (x6)

Still Standing

Official Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.